DAKTARI HUYU NI NOMA AANGUSHA SEBENE LA NGUVU

Dk Christian wa Mwananyamala akiangusha sebene jukwaani.
Toto ze Bingwa akimpa sapoti Dk Christiani.
Mkurugenzi wa B Bendi Banana Zor (Kulia) akiwa na Stevene Nyerere.
Banana akiimba na wanamuziki wake.
Mashabiki wa B Bendi wakiserebuka.
Katika onyesho la bendi ya Malaika lililofanyika usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa Mango Garden uliopo Mwananyamala Daktari mmoja wa Meno wa Hospitali ya Mwananyamala aliye fahamika kwa jina la Dk Christian alionyesha kuwa yeye sio bingwa wa kungoa meno tu bali hata kurap Kidongo baada ya kuvamia jukwaa na kuanza kuimba na Kurap

No comments:

Post a Comment

Pages (38)1234 »
 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger