KUSHIKWA NA MADAWA YA KULEVYA KWA MASOGANGE, JACK NA BROWN BERRY KWAZIDI KUWAPONZA WAREMBO WENGI AIRPORT. SOMA HAPA
Tangu kuwepo na wimbi la ongezeko la
usafirishaji madawa ya kulevya imebainika kuwa mabinti wazuri wa
kitanzania ambao hujaribu kwenda uwanja wa ndege kusafiri kikazi
wamekuwa wakikutana na usumbufu mkubwa kwani wanapekuliwa kupita maelezo
hayo yamebainishwa na dada mmoja ambaye alitambulika kwa jina moja tu
la Happy ambaye ni meneja masoko wa kampuni flani hapa mjini, najuta
kuwa mzuri but what can i do ....yani upekuzi nliokutana nao pale ndani
God knows .... yani sijui wanahisi kila msichana mzuri ana tabia za hao
kina ...,fkfnk[-o; anataja jina la video queen maarufu.... mpaka naona
uvivu kusafiri jamani dah.. alimalza dada huyo
No comments:
Post a Comment