LAANA: MASHOGA WATIWA MBARONI KWA KOSA LA KUFANYA NGONO NDANI YA LIFT YA HOTEL MAARUFU MJINI

wanaume wawili nchini uberigiji wamejikuta mikononi mwa polisi baada ya kushtakiwa kwa kosa la kufanya mapenzi ndani ya lift. mkuu wa upelelezi wa makosa ya jinai wa nchi hiyo alidai ya kwamba watuhumiwa hao walitenda kosa hilo usiku wa saa sita katika hotel moja ya kitalii aliendelea kwa kusema kuwa tukio ilo lilifikishwa mezani kwake mara baada ya kunasa picha zao wakiwa wanajivinjali live... inasemekana mashoga hao wasiokuwa na haya walikua wakidhani lift hiyo haina cctv camera na hivyo kuhisi akuna anayewaona ivyo kuamua kufanya madudu yao bila uoga wowote...   watuumiwa hao wako mikononi mwa polisi wakisubiri kufikishwa mahakamani mda wowote kujibu mashtaka yanayowakabili

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger