MAJANGA:MAJANGA:MAJANGA:MAJANGA:MAJANGAMAJANGA:MAJANGA

Photo: Mtu huyu alipata ajali akiwa anaelekea kazini asubuhi moja.

Kutokana na ripoti walizotoa majirani na wana familia ni kwamba aliondoka nyumbani akiwa amechukia na kuhuzunika kwa kuwa hana hela ya kulipia pango na pia mama yake ni mgonjwa na anahitaji msaada wa fedha kwa ajili ya matibabu.......Jambo lililomfanya akatishwe tamaa na kuwa na msongamano wa mawazo

Akiwa katika dimbwi la mawazo akajisahau kuangalia upande wa pili mpaka lori likamgonga na kumvunja mguu.

Ni binadamu kama mimi na wewe, hebu angalia yaliyomkuta kwa sababu ya mawazo ambayo wote tunayo katika maisha yetu ya kila siku.

Mungu atunusuru na kutupa mioyo ya uvumilivu na tuyahimili matatizo yanayotukabili sisi na familia zetu na yasituletee mamatizo na ya kutuharibu kabisa.

Mungu amponye na kumpa nafuu ya maisha huyu ndugu.

•Tafadhali usipite bila kuandika neno AMEN...
Mtu huyu alipata ajali akiwa anaelekea kazini asubuhi moja.
Kutokana na ripoti walizotoa majirani na wana familia ni kwamba aliondoka nyumbani akiwa amechukia na kuhuzunika kwa kuwa hana hela ya kulipia pango na pia mama yake ni mgonjwa na anahitaji msaada wa fedha kwa ajili ya matibabu.......Jambo lililomfanya akatishwe tamaa na kuwa na msongamano wa mawazo
Akiwa katika dimbwi la mawazo akajisahau kuangalia upande wa pili mpaka lori likamgonga na kumvunja mguu.
Ni binadamu kama mimi na wewe, hebu angalia yaliyomkuta kwa sababu ya mawazo ambayo wote tunayo katika maisha yetu ya kila siku.
Mungu atunusuru na kutupa mioyo ya uvumilivu na tuyahimili matatizo yanayotukabili sisi na familia zetu na yasituletee mamatizo na ya kutuharibu kabisa.
Mungu amponye na kumpa nafuu ya maisha huyu ndugu.
 Tafadhali usipite bila kuandika neno AMEN, KWENYE PAGE HII https://www.facebook.com/pages/BONGO/475899065866363
PIA USISAHAU KULIKE PAGE HII

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger