skip to main |
skip to sidebar
UKATILI:KIJANA ATUMIA JEMBE KUMUUA MAMA YAKO, HII IMETOKEA MKOANI SHINYANGA
Katika
hali ya kusikitisha ,kuhuzunisha na isiyokuwa ya kawaida kijana mmoja
mkazi wa kijiji cha Mwakuhenga wilayani Kahama mkoani Shinyanga amemuua
mama yake kwa kumkata na jembe kichwani na kusababisha kifo chake.
No comments:
Post a Comment