WEMA SEPETU AMEKUWA BONGEBONGE KISA MAPENZI YA DIAMOND



JANA katika Kipindi cha leo Tena Mwanadada Wema Sepetu Aliulizwa kwanini Siku hizi ananenepa sana kiumbo na Mwanadada huyo mrembo alijibu moja kwa moja kuwa ananenepa kwa sababu ana amani ya moyo kwa vile yupo na mtu kimapenzi ampendaye kuliko wote duniani... Nadhani wote mnamjua ni nani? Mapenzi raha Bwana asikwambie mtu ukimpata akupendaye na wewe anakupenda lazima unenepe.

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger