GARI LA MBUNGE WA IRINGA LANUSURIKA, LAPATA AJALI, SOMA ZAIDI HAPA


Dereva wa Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini jina lake halikupatikana alitumbukia katika gema la uwanja wa Mwembetogwa mjini na kusababisha hali hiyo kupata itilafu kidogo

Hapa vijana wa Chadema wakisaidia kuchimbua eneo hilo ili gari hiyo itoke 
waliendelea na jitihada hizo mpaka wakafanikiwa

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger