BONGO MUVI HALI SI SHWARI, MSANII MWINGINE MAHUTUTI HOSPITALI

Sajenti Hospitalini
Msanii wa bongo movies ambaye ni mzazi mwenzie na muimbaji wa dansi Chaz Baba, Sajenti hivi majuzi alilazwa na alikuwa katika hali mbaya lakini kwa uwezo wa Mungu na dua watu alifanikiwa kupona na sasa anaendelea vizuri.

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger