KIONE KIATU ALICHONUNUA MPENZI WAKE REGINALD MENGI(K-LYINN) AMBACHO GHARAMA YAKE NI SAWA NA VITZ

Leo katika pitapita kwenye kurasa za WAREMBO  huko INSTAGRAM...nimekutana na hichi kiatu cha  mwanamama Jacqueline Ntuyabaliwe aka K-LYINN..kiudaku udaku nikaona ngoja ni GUGO bei ya hiki kiatu....Duh kucheki bei yake nikachoka mwenyewe...ni zaidi ya gari aina ya VITZ (USED lakini..hizi ndio wabongo wengi tunazimudu)....Hehehe sio ishu yote maisha...ni zaidi ya shilingi Milioni Tatu na Nusu (ONLINE) na hapo bado haujaletewa...Kumbuka hiki nikiatu tu, bado gauni, pochi...nywele....nk...Dah huyu si anatembe na M-KUMI kabisa.... Jionee mwenyewe hapa

Kwenye ukurasa wake wa INSTAGRAM alikuwa ameweka picha hii:

  Nakuandika: 
Remember the Zannoti gladiator sandals that I wanted so much??������ #zannoti

Nika GUGO hii kitu .

Haya sasa mcheki mwenyewe hapa!!
hapa yupo na Faraja
Hapa yupo  na Nancy, Faraja na Odemba
 Baadaye ni kaingia kwenye mitandao ya kununua Magari usesd kutoka Japan..(Nataka nivute ndiga aina ya VITZ-coz hazilimafuta)
Nikatuta hakuna USED VITZ  zinaanzia  Dola 900 ha 2000+...wakati kiatu cha mama huyu ni Dola 2295

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger