Mzee Small enzi za uhai wake akibadilishana mawazo na Mhariri Kiongozi wa Magazeti ya Championi, Saleh Ally.
MWILI wa msanii mkongwe wa vichekesho
nchini, Said Ngamba ‘Mzee Small’ utazikwa kesho saa 10 jioni katika
makaburi ya Segerea jijini Dar es Salaam. Marehemu Mzee Small alifariki
dunia jana usiku akiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa
anapatiwa matibabu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment