TAPELI LA KIKE LAKAMATWA NA KUVULIWA NGUO ZOTE, SOMA ZAIDI HAPA



dada mmoja nchini namibia ambaye anasemekana ni kiongozi wa kikundi cha kike cha waporaji amejikuta katika wakati mgumu baada ya kukammatwa na vijana wenye hasira kali na kumvua  nguo mbele ya umati na kumuacha akiwa mtupu kisha kumtandika bakora, inasemekada dada hao wanajifanya madada poa na wakisha pata mteja uenda nae mafichoni kwa ajili ya kumpa haki yake na wakifika huko mafichoni utokea kikundi cha wadada wenye visu na viwembe ambapo wnamtishia mteja na kumtaka atoe kila alichonacho, ama kweli za mwizi arobaini,, aibu kweli kweli

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger