Vanitha
aliyefunga ndoa siku moja kabla ya kifo cha msanii Recho Haule, alisema
marehemu huyo alikuwa ni mtu wake wa karibu hivyo akalazimika kufuta
mapumziko hayo ya baada ya ndoa.“Tangu niolewe balaa juu ya balaa, hata sijafaidi ndoa yangu katika fungate, maana ilipita siku moja tu nikapata msiba wa Recho, tukamaliza ili tupumue, ukaja wa George Tyson ambaye naye alikuwa ananihusu sana, nikalazimika kuonyesha ushirikiano,” alisema.

No comments:
Post a Comment