NGONO LIVE VICHOCHORNI...MACHANGU NA WATEJA WAO WANASWA WAKIFANYA YAO. TAZAMA PICHA HAPA


Vijana wa kike na wa kiume walionaswa wakifanya vitendo viovu uchochoroni. MAJANGA! Timu ya Oparesheni Fichua Maovu (OFM) inayodili ya maeneo korofi kwa uovu, imewanasa vijana wa kike na kiume wakifanya vitendo vichafu vichochoroni, maeneo ya Mbagala-Zakheem, Dar. Awali, OFM ilipokea malalamiko kutoka kwa wakazi wa maeneo hayo juu ya vijana hao kufanya  ngono vichochoroni na kusababisha
kuzagaa kwa maboksi ya mipira ya kiume (kondom) maeneo hayo kutokana na kutupwa hovyo baada ya kutumika.
AIBUUUU..

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger