NJEMBA MBILI ZAPIGWA MABAKORA BAADA YA KULA CHAKULA HADHARANI KATIKA MCHANA WA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI


Hao watu wawili wanapata adabu ya kupigwa bakora huko Chake Chake Pemba kwa sababu ya kula mchana katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Ukila mchana kwako hakuna anayekufata lakini kula nje ni marufuku na ukipatikana na hatia mwaka mmoja jela

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger