Nyumba ya Vipaji Tanzania (THT), aliyetamba
na kibao chake cha Kizunguzungu, alisema maneno hayo siyo mageni kwake,
lakini ukweli ni kwamba hawana uhusiano wa kimapenzi, isipokuwa
amemuweka katika mipango ya kuja kufanya kazi na mkali huyo wa singo
iliyotamba sana ya Zeze.
Aidha alisema katika maisha yake ya kila
siku, hategemei kuhongwa vitu au hela na wanaume, ila baada ya kupata
mafanikio kupitia sanaa, anaitumia kama mtaji wa kufanya shughuli
nyingine za kumuingizia kipato na hivyo kuwa na uwezo wa kukidhi
mahitaji yake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment