MAPENZI: HUYU HOUSEBOY ATANIVUNJIA NDOA YANGU, NISHAURINI

http://yamotto.blogspot.com/2014/08/nimefanya-mapenzi-na-shamba-boy.html
Mie naitwa Agnes ni mama niliyeolewa toka mwaka 1992, nimekaa na mume wangu kwa muda mrefu lakn hajawahi kunikuna kama nilivyokunwa na house boy wangu. Sasa nimepagawa, kila siku natoroka kazin narudi nyumbani mume wangu akiwa hayupo na ananikuna sana. Nahisi nimekolea kwenye penzi la house boy sasa wasi wasi wangu mume wangu akijua sijui itakuwaje. Mnisaidie wandugu

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger