siku hizi mapozi ya kupiga picha yameisha mpaka kufikia hatua ya kupiga picha kwa pozi hizi jamani au ndio utandawazi ha ha ha ha ha ama kweli ni maendeleo sisi enzi zetu pozi zilikua nyingi tu unaweza ukalala kwenye majani au ukapigaa umeonyesha dole la ccm ha hah ah ila kwa sasa hizi pozi mmmh mi sitaki kabisa kama ndo hivi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment