“Nampongeza sana Chopa kwani ndiye aliyemvalisha nguo marehemu na kumalizia pete ya ndoa kwani kila msanii aliogopa kusogelea maiti ya Kuambiana,” alisema msanii mmoja ambaye hakupenda jina lake liandikwe gazetini.
CHOPA APONGEZWA KUMSITIRI KUAMBIANA, HII NI BAADA YA WASANII KUGOMA
STAA wa filamu wa Bongo Movies, Juma Chikoka ‘Chopa
Mchopanga’ amepongezwa na wasanii wenzake kufuatia kitendo cha kumstiri
kwa mavazi marehemu Adam Kuambiana aliyefariki dunia Mei 17, mwaka huu
na kuzikwa Jumanne iliyopita jijini Dar es Salaam.
Staa wa filamu wa Bongo Movies, Juma Chikoka ‘Chopa Mchopanga’ akiwa na wasanii wenzie katika mazishi ya Kuambiana.
Imeelezwa kuwa, siku ya Jumatatu ambayo mwili wa marehemu ulitakiwa
kuogeshwa na kuvishwa nguo, mastaa walisita kufanya kazi hiyo kutokana
kuogopa maiti ndipo Chopa kwa mapenzi ya dhati alimbadilisha nguo.
“Nampongeza sana Chopa kwani ndiye aliyemvalisha nguo marehemu na kumalizia pete ya ndoa kwani kila msanii aliogopa kusogelea maiti ya Kuambiana,” alisema msanii mmoja ambaye hakupenda jina lake liandikwe gazetini.
“Nampongeza sana Chopa kwani ndiye aliyemvalisha nguo marehemu na kumalizia pete ya ndoa kwani kila msanii aliogopa kusogelea maiti ya Kuambiana,” alisema msanii mmoja ambaye hakupenda jina lake liandikwe gazetini.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment