ANGALIA JINSI JAY Z NA BEYONCE WANAVYOSAIDIANA KULEA

Mwana Hip Hop Jay Z na mkewe Beyonce aka Queen Bey ambaye juzi kati alikomba tuzo tatu za BET.
Jay Z na Queen Bey wakiwa katika mtoko wa shopping kwa ajili ya kumnunulia mtoto wao nguo Blue Ivy hii ni moja ya mapendo kwa mtoto wao mwenye umri wa miaka miwili, swali langu kwako wewe huwa mnatoka na kama hivi au unatoka mwenyewe na kwenda kumnunulia mtoto nguo za oversize





No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger