Jamaa huyu amenaswa nadni ya pub moja
maarufu mjini jijini mwanza akiwa na kahaba wakiponda raha chooni bila
wasiwasi wowote, watu walioshuhudia tukio hilo wamedai jamaa alikuwa
akila uroda usiku huo kwani baada ya kufumwa demu alionekana kuvaa nguo
yake ya ndani faster, hii tabia ya kuchepuka ni hatari sana jamani
ukimwi bdo hupo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment