ILE NAMBA INAYOSEMEKANA NIYAFREMASON ILIYOMPIGIA TUNDA MAN YAPATIKANA, SIKILIZA MKASA MZIMA HAPA
Hii stori ilianzia hapa hapa millardayoTV baada ya Tunda Man kusema kuwa amepigiwa simu na namba asiyoijua na kisha baada ya kuongea nae akaanza kuhisi hali ya utofauti katika mwili wake.
Soudy Brown kaenda mbali zaidi kwa kuipiga ile namba kisha kuwapigia mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA kwa ajili ya muongozo juu ya hiyo namba.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment