
Picha ya msanii M2 The P akitabasamu kwenye kitanda chake hospitalini, na kuonekana hali yake inaendelea vizuri
Sikiliza mahojiano kati ya mtangazaji Millard Ayo akiongea na M2 The P iliyofanyika hospitali alikolazwa msanii huyo. Msanii huyo alikutwa mahututi pamoja na msanii mwenzake, Albert “Ngwair” Mangwea, aliyefariki dunia wikiendi iliyopita. To the P anasema hali yake sasa inaendelea vizuri. Click play button hapa chini kusikiliza mahojiano hayo
No comments:
Post a Comment