FAHAMU MAAJABU YA NGUO NYEKUNDU KWENYE MAPENZI

imezihirishwa na wataalam wa mapenzi kuwa nguo nyekundu ni mojawapo ya nguo ambayo mwanamke akivaa uvuta atention kubwa ya wanaume, hii ni kutokana na ukweli kwamba nguo nyekundu uonekana zaidi kuliko nguo yeyote maconi kwa wanaume,,,, na hii na kutokana na ukweli husiopingika kwamba wanaume wengi uwa hawana uwezo wa kutofautisha rangi nyingine kama ilivyo kwa nyekundu...  kwa hiyo kama wew ni mwanamke ambaye mpaka sasa hivi unatafuta mwenza wa maisha jaribu kuvaa nguo za aina hii na kwa kufanya hivo utarahisisha kazi yako ya kutafuta kwani utasimamishwa na wanaume wengi na miongoni mwa hao uenda ukapata yule ambaye ana vigezo unavyoitaji na mwenye mapenzi ya dhati,,,,,wataalamu pia wamebainisha ya kwamaba miongoni mwa watu wanaopenda wanawake ndani ya gauni nyekundu ni matajiri au watu wenye uwezo kwani uhisi wanawake hao ni waelewa na wachanganuaji mambo hivyo kuwasaidia katika shughuri zao za kibihashara.... jaribu kuvaa nguo nyekundu uone maajabu yake sasa na sio kuvaa siku ya valentine day tu

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger