HUYU NDIO SAMAKI WA AJABU ALIYEWAHI KUVULIWA TANZANIA

 
AJABU NA INASTAJABISHA:Mchangamle kizimkazi,walikusanyika na kumshanga 
samakihuyu wa ajabu ambae wavuvi na wakazi wa maeneo hayo hawakuwahi 
kumwona,maana samaki huyu aelewiki ni CHUI, DUMA au ni nini.Nikaona 
nisistajabike mwenyewe nikuweke hapa wewe mpitiajiwa This is diamond 
upate kujua yanayoendelea Dunia. kwangu mimi ni ajabu sijawahi kuona 
kiumbe kama hicho.

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger