MASOGANGE NI BORA UKATE MAONO KAMA HIVI KULIKO KUUZA SEMBE

Week hii Mitandaoni zimetawala picha za Agness Masogange Mitandaoni Akicheza jukwaani huku akionehsa kiuno chake kwa chati kwenye ufunguzi wa Pub Moja huko Dodoma Its Obvious Alilipwa kwa kufanya hivyo tena si hela ndogo ...Mimi ki  ukweli kanifurahisha ni bora atumie kipaji chake na umbo lake kujipatia hela kwenye matamasha ama video mbali mbali kuliko ile ya kuuza Sembe aka Ungaz....Hongera Masogange......Au unasemaje mdau ?

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger