"MASTAA WENGI WA FILAMU WAMETOKA KWA SABABU YA UCHANGUDOA" DUDE


dude
KULWA Kikumba ‘Dude’ amefunguka kuwa wasanii wengi wanaojiingiza kwenye tasnia hiyo wanakuwa ni wadada waliokuwa wakijiuza barabarani kama maeneo ya Baa ya Kimboka iliyopo Buguruni, jijini Dar.

Akizungumza na paparazi wetu hivi karibuni, Dude alisema ameshawahi kukutana na wasanii wengi ambao wanataka kujiingiza kwenye tasnia hiyo na wako tayari kutoa miili yao ili waweze kuonekana kwenye runingani.

“Yaani msanii unakuta ameshapata jina lakini alipotokea mpaka kuibuka kisanii utashangaa kabisa na ndiyo maana hata tabia zao huwa zinafanana kabisa na wale wadada wanaojiuza,” alisema Dude.

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger