MCHUNGAJU MTIKILA ASEMA BUNGE LA KATIBA LIMEJAA WAHUNI NA

Mchungaji Mtikila leo huyu jamaa amekandia bunge lote la katiba na kusema anasikitka soon ataliacha bunge hilo mana limechaguliwa kihuni.
Nasema hivi wambieni kabsa nimesema hili ni bunge la kihuni limechaguliwa kihuni ndio maana unakutana na mambo ya kishenzi mnayoendelea kuyaona.

Nasema tangia uhuru sijapata kuona bunge la kihuni kama hili.

Sitoshangaa maamuzi ya kihuni na
kishenzi kutokea siku tunaagana pale nje.
Huyo ni rev. Christopher Mtikila.

Source: BBC swahil

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger