Akitamba na vibao vyake kama “Paka La Bar”, “Nakomaa na Jiji”, pamoja na ngoma yake mpya iitwayo ”Chuna Buzi”,
mwanadada Shilole ambaye ni muimbaji, muigizaji na pia ni mama wa watoto wawili, amefunguka kuhusu maisha yake jinsi alivyopambana mpaka kufikia hapo alipo, harakati zake za kimuziki, na misukosuko iliyompata kupitia kipindi cha televisheni maarufu kama Sporah Show…

Shilole On Sporah Show….
“Nilibakwa nikiwa na umri wa miaka 14″, Ni maneno ya Shilole ndani ya mahojiano na The Sporah Show. Itazame hapa
mwanadada Shilole ambaye ni muimbaji, muigizaji na pia ni mama wa watoto wawili, amefunguka kuhusu maisha yake jinsi alivyopambana mpaka kufikia hapo alipo, harakati zake za kimuziki, na misukosuko iliyompata kupitia kipindi cha televisheni maarufu kama Sporah Show…

Shilole On Sporah Show….
“Nilibakwa nikiwa na umri wa miaka 14″, Ni maneno ya Shilole ndani ya mahojiano na The Sporah Show. Itazame hapa


No comments:
Post a Comment