RAIS WA ZAMANI WA MAREKANI MR. BILL CLINTON AINGIA KWENYE MSALA WA KUPENDA WAREMBO WADOGO



Bill Clinton wipes his eyes as his wife Hillary looks on Elizabeth Hurley is seen out in London
Aliyekua raisi wa marekani na anayeheshimika sana Tanzania na   ulimwenguni kote amejikuta akiwa gumzo  vyombo vya habari vyote duniani baada ya mwanadada  mrembo anayejulikana kwa jina la Elizabeth Harley , habari hizi zilienezwa na X boyfriend  {Tom Sizemore }wa mrembo huyo ambaye anadai aliwategeshea Bill Clinton na mrembo huyo hotelini ambapoa walispend husiku huo pamoja huku mke wa raisi huyo akiwa chumba cha pili katika gest hiyo, inadaiwa wakati wawili hao wakitoka uhusiano wa bi hirary clinton na mumewe ulikua una utata.
 Hata hvyo mrembo huyo amekanusha uvumi huyo na kudai anamwachia lawyer wake ambaye atashughurikia kila kitu.

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger