HIKI NDICHO ALICHOAMBIWA MTANGAZAJI BOND BIN SINAN NA MAREHEMU GEORGE TYSON KUHUSIANA NA TUZO ZAKE ZA VIEWERS CHOICE
Hizi
ndizo sms au ujumbe mfupi wa maneno ambao bond alikua akichat na
marehemu mda mchache kabla ya mauti kumfika, inasikitisha sana hii,
lakini hatuna jinsi kwani wote tutapitia njia hiyo. mungu ailaze roho ya
marehemu maala pema peponi amina.
No comments:
Post a Comment