WASAGAJI WAKAMATWA WAKISAGANA, ANGALIA MWENYEWE HAPA


Imeripotiwa kwamba ni zaidi ya wanasichana 26  wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja  unaweza kuwaita wasaganaji wamekamatwa  na polisi katika mji wa Asaba, jimbo la  Delta nchini Nigeria.
 Wasaganaji hao walikuwa wakifanya yao katika maeneo ya barabara ya AWAI mjini humo.


Wasichana  wengi kutoka maeneo ya jirani wamekuwa wakiripotiwa kujihusicha na utumia wa Bangi na Madawa bila kusahau GAMBE na badaye kuijingiza katika NGONO.
My Take
Kwamujibu wa sheria ya kupinga ushonga na usagaji ya NIGERIA hao wichana waki THIBITIKA mahakamani ..ndio hivyo tena....JELA MAICHA

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger