Kwa mara ya kwanza napenda kusema kitu ambacho kimeniboa sana kwa jinsi Joti anavyoigiza kama DA.KIBOGA hata akiwa nje ya SHOW.
Mimi binafsi namkubali sana Joti ni moja kati ya wachekeshaji ninao wa
kubali ukimtoa Mpoki huyu kwangu ni namba moja....But kama mshabiki
KIROHO SAFI..naomba nieleze kuwa JOTI huwa ananiboa sana kuigiza kama DA
KIBOGA, nilitegemea ingeishia kwenye SHOW (which is a commedy show)
japokuwa mimi binafsi huwa sipendi hata kwenye show..Lakini kinacho ni
kera zaidi ni kuendeleza U-DA KIBOGA hadi nje ya kuigiza..kwa mfano
kwenye matangazo na sasa hadi kwenye FOTOSHUTI ana vaa U DA-KIBOGA.
Naomba nieleweke kuwa sina tatizo akiigiza kama BABU au MTOTO hata nje
ya show.
Katika dunia hii ya kupambana na UGEI ni bora angeishia kwenye SHOW
yenu tu. Huu ni mtazamo wangu, naomba nieleweke. UNATUDHALILISHA WANAUME

No comments:
Post a Comment