HIVI NDIO JINSI MREMBO ALIVYOMTUKANA HEMEDI WA BONGO MOVIE

Hii ilitokea club billicanas ambapo bishoo huyu alijikuta akisachiwa na mtoto huyu wa kike kwa kupandishiwa sauti na kurushiwa maneno makali, mapaparazi walifanikiwa kuzipata picha za tukio japo haikujulikana mar moja nini kilikua chanzo cha ugonvi huo hata hivo watu waliokuwepo waliingilia kati ugonvi huo hivo kuepusha balaa



hilo

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger