MAPOLISI FEKI WANASWA HUKO IRINGA BAADA YA KUTAPELI.


 Askari Polisi mkoani Iringa (kushoto) akiwa na maaskari  feki katika ofisi ya kamanda wa polisi baada ya kuwanasa. 
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhan Mungi akiwaonyesha maaskari  feki ambao walikuwa wakifanya utapeli katika mikoa ya Iringa na Morogoro. Kulia ni Brazil Nyakunga ambaye ni mwalimu akiwa na sare za polisi na katikati ni bosi wake Goodluck Mbehale.

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger