“Mh! Kwa sasa sina jibu ila ipo siku kila kitu kitakuwa kweupe msiwe na haraka.”
SALHA, MUME WA JACK PATRICK WANASWA WAKIWA KATIKA POZI ZA KIMAHABA
MISS Tanzania 2011, Salha Israel na aliyekuwa mume
wa mwanamitindo maarufu wa Bongo, Jacqueline Patrick, Abdullatif
Fundikira picha zao zimenaswa wakidendeka kwa raha zao.
Salha
Israel akiwa kwenye pozi la kimahaba na aliyekuwa mume wa mwanamitindo
maarufu wa Bongo, Jacqueline Patrick, Abdullatif Fundikira
Baada ya mapaparazi wetu kuzinasa picha hizo kwenye mitandao ya
kijamii, walimtafuta Salha na hakupokea simu lakini alipotafutwa
Abdullatif na kuulizwa kulikoni? Alitiririka:
“Mh! Kwa sasa sina jibu ila ipo siku kila kitu kitakuwa kweupe msiwe na haraka.”
“Mh! Kwa sasa sina jibu ila ipo siku kila kitu kitakuwa kweupe msiwe na haraka.”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment