UNYAMA: MTOTO MCHANGA ATUPWA MAENEO YA MAGOMENI JIJINI DAR

Mwili wa mtoto ukiwa ndani ya mfuko mweusi na ukiwa umetelekezwa maeneo ya Magomeni jijini Dar es Salaam hapo jana. Inavyoonekana kichanga hiki kilitupwa na mama wa mtoto huyo baada ya muda mchache kujifungua. Wakazi wa eneo la Magomeni zilipovunjwa nyumba za kota jijini Dar es salaam wakishuhudia mtoto mchanga anayekadiliwa kuwa 

umri wa siku moja akiwa kwenye mfuko na kutupwa na mtu asiejulikana. Askari Polisi wa kituo cha Magomeni Usalama wakiwa katika eneo hilo ambalo alitupwa mtoto mchanga akiwa amekufa kwa ajili ya kumchukua kumpeleka sehemu husika Mwili wa Mtoto huyo ukiwa ndani ya gari la Polisi tayari kwa safari ya kwenye sehemu husika. Wakazi wa maeneo ya jirani na hapo na wale wapita njia wakiwa katika eneo la tukuo

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger