WEMA: NAPENDA SANA NIWE NA MTOTO, LAKINI MIMBA MHMHMH, SOMA ZAIDI DIAMOND AKILIZUNGUMZIA SWALA HILO

kweli anahitaji mtoto lakini kwa sasa bado mimba haijaingia.
Diva katika tasnia ya filamu Bongo Wema Sepetu.
Wema alifungukia hilo kwenye ukurasa wake wa nstagram ambapo alisema, anatamani siku moja aitwe mama lakini taarifa zilizoenea kuwa amenasa si za kweli.
Akizungumzia hilo mpenzi wake Nasibu Abdul ‘Diamond’ alisema: “Unajua sisi tunaishi kama mke na mume kwa hiyo ishu ya mimba inawezekana lakini muongeaji ni Wema, mimi nataka iwe sapraizi.”

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger