WEMA SEPETU AMWAGA MACHOZI KAMA MTOTO MDOGO, SOMA MKASA MZITO ULIOMKUTA

Masikini Wema katika siku alizowahi kuongea kwa uchungu, leo ametisha. Kwa kilichomkuta leo hatamani hata kuelezea. Ameshindwa kuvumilia na hatimae kutokwa chozi mtu mzima baada ya watu anaojibizana nao mitandaoni kuchukua picha ya mama yake na kui-edit akaonekana akiwa uchi. Ni fedheha kubwa sana kwa Wema na kwa yeyote mwenye uchungu na mama hili hakuwa na budi kuwa mpole. Soma kilichomkuta hapa.

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger