ALIKIBA NA DIAMOND..UNAAMBIWA KUJA KUTOKEA TENA KAMA MAAJABU YA DUNIA

Wazungu wanasema picha huongea maneno elfu moja, hii ni kabla Diamond hajanza kugeuka kuwa sukari ya warembo na wakati huo Kiba ndio akiwa ndio talk of the town, hapa ni kabla hata mambo ya mabifu hayakuwepo, wakati mambo yalikuwa shwari kabisa...
Ila kwa hivi sasa bado ni ndoto kupata picha kama hii wawili hawa wakiwa pamoja...

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger