Basi
la Japanese lenye namba za usajili T 261 CMK aina ya YUTONG likiwa
limetumbukia mtoni na kusababisha abiria kadhaa waliokuwa wakisafiri na
basi hilo kutoka Ikonda wilayani Makete kwenda Makambako mkoani Njombe
kujeruhiwa.
Hadi
tunaondoka eneo la tukio hakuna abiria aliyepoteza maisha na majeruhi
wote waliwahishwa hospitali kwa matibabu zaidi. Ajali hiyo imetokea jana
majira ya saa nane mchana.
Majeruhi wa ajali hiyo akizungumza na mwandishi wetu muda mchache kabla ya kuwahishwa hospitali kwa matibabu zaidi.
Mmoja wa wafanyakazi wa basi hilo ambaye naye amejeruhiwa kidogo katika ajali hiyo akiwa katika hali ya huzuni.
Majeruhi wa ajali hiyo akizungumza na mwandishi wetu muda mchache kabla ya kuwahishwa hospitali kwa matibabu zaidi.
Mmoja wa wafanyakazi wa basi hilo ambaye naye amejeruhiwa kidogo katika ajali hiyo akiwa katika hali ya huzuni.



No comments:
Post a Comment