STAA
wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ametwaa tuzo moja ya
Msanii bora wa kiume Afrika Mashariki katika Tuzo za Afrimma
zilizofanyika Dallas. TX nchini Marekani.
Staa
huyo aliwania tuzo katika vipengele vitano ambavyo ni: Msanii bora wa
mwaka Afrika, Wimbo wa mwaka, Collabo bora, Video bora ya mwaka na
Msanii bora wa kiume wa Afrika Mashariki. Kwaiyo kashinda tuzo moja ya
msanii bora wa kiume Africa mashariki.
VIA GPL
No comments:
Post a Comment