Kutoka kwenye mtando wa INSTAGRAM dada yetu Rehema ameamua kufunguka
yake ya moyoni kuhusu kutamani kuwa na mtoto.....Sina mengi soma
mwenyewe hapo chini.
Wako katika Udaku,
Mdadisi wa Mambo
"Yani
nikiona watoto siku hizi natamani sana kuwa na mtoto nadhani umri
umefikia wa kupata katoto hata tuwili tu...ni wangapi wangependa kumuona
mwanangu mtarajiwa....yani nikiona MTU amebeba kachanga nachanganyikiwa
na hamu sana ya kutoa kopi Yangu,niombeeni ingawa stori za labour
zinatisha lakini na hamu sana....uwi sijui itakuwaje nikimuona mwanangu
kwa Mara ya kwanza yani naeza zimia......"
By Ray C
No comments:
Post a Comment