"KUZAA NAPENDA ILA NAOGOPA UCHUNGU WA KUZAA" RAY C

Husika na kichwa cha habari hapo juu!!
Kutoka kwenye mtando wa INSTAGRAM  dada yetu Rehema ameamua kufunguka yake ya moyoni kuhusu kutamani kuwa na mtoto.....Sina mengi  soma mwenyewe hapo chini.
Wako katika Udaku,
Mdadisi wa Mambo
"Yani nikiona watoto siku hizi natamani sana kuwa na mtoto nadhani umri umefikia wa kupata katoto hata tuwili tu...ni wangapi wangependa kumuona mwanangu mtarajiwa....yani nikiona MTU amebeba kachanga nachanganyikiwa na hamu sana ya kutoa kopi Yangu,niombeeni ingawa stori za labour zinatisha lakini na hamu sana....uwi sijui itakuwaje nikimuona mwanangu kwa Mara ya kwanza yani naeza zimia......"
By Ray C

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger