NEY WA MITEGO NI MUONGO MKUBWA, KUMBE HANA NYUMBA 3 KAMA ALIVYOTAMBA. SOMA UKWELI HAPA



https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj_gGTVHjnCQ3ylO775iI4feK8gIONdTgHsgAx4qlK7yMxRMK1PRTptHF9vUpw3xAk2XsygmpPffh0tsbz5083CS0x2yaLDIq6EuXPqj3HCdaqB7SplkG94my8eK6wSYUD9Un7A0nOj_Us/s1600/10456457_939160349431717_5429598818210293882_n.jpg
Miezi miwili iliyopita msanii Ney wa mitego alianika utajiri wa ajabu zikiwemo nyumba nne na gari moja ya kisasa nissan murano!! Akichezesha taya na mwandishi wetu aliyekuwa manager wa ney amesema tangu aachane na ney miezi 7 iliyopita alikuwa hana hata nyumba moja ameshangaa kumuona ana nyumba nne ghafla lakini manager amesema inawezekana jamaa anatafuta kiki ili watu wanaomuita kwenye show wafikirie kumpa mpunga mrefu na si laki laki wanazolipwa kwenye fiesta! Amefunguka kwamba Ney kuwa na hizo nyumba basi itakuwa ni miujiza.

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger