JITAHIDI KUMTHAMINI MWENZA WAKO, SOMA HAPA



Jambo ambalo wapenzi wanapaswa kulifanya,. Bila kujali kama wana hasira sana au hasira nyingi, ni kujitahidi kuweka nguvu kwenye jambo wanalojadili. Watu wenye hasira za ziada, huwa hawana uwezo wa kuzingatia kile kinachojadiliwa.
Huwa na ugumu huo kwa sababu hasira za ziada huwasukuma kusema chochote ambacho kitawafanya washinde, ikiwemo kusingizia na kusema uongo. Lakini huwa wanabebwa na wimbi la hasira kiasi kwamba hawana muda wa kupima athari ya kile wanachosema.

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger