USHAURI: JIMAMA LITANIUA, KILA AKITAKA MAMBO ANAMTOROKA MUME WAKE NA KUNIITA HOTELINI NIMSHUGHULIKE.
Huyu Mama Hapo kwenye Picha Anataka kuniua tu mimi
kijana bado mdogo, Nilikutana naye Mlimani City Pale Game alikuwa
akifanya shopping na watoto wake wadogo sasa vitu alivyonunua vilikuwa
vingi nikamsaidia kuvipeleka kwenye gari lake , akanishukuru na kuniomba
number yangu ya simu, sasa kuanzia hapo tukawa tunawasiliana lakini
siku zilivyozidi kwenda tukajikuta tunachat mambo ya mapenzi na siku
moja tukakutana nikampa dozi 3 za nguvu, sasa imekua shida maana kila
week ananitafuta mara mbili nimpe mambo eti anasema mume wake hawezi
mambo , kila mara huwa analipia hoteli yeye na kila kitu mpaka vinywaji
mimi kazi yangu ni dozi , sasa nimejaribu kumchumguza nimengundua ni Mke
wa Mwanasiasa Maarufu hapa Tanzania. Nimeingiwa na Woga nahofia maisha
yangu mimi bado mdogo ndio natafuta maisha.. Naomba Ushauri ..
No comments:
Post a Comment