ZIFAHAMU SIFA 15 ZA MWANAUME ZINAZOMFANYA APENDWE NA WANAWAKE!!




Pengine watu wengi wamekuwa wakitafuta ni jinsi  gani wanaweza

kupendwa na wasichana au wanawake. Niwazi kabisa kila mwanamke anachaguo lake kwa mwanaume ampendae.Huenda ukawa unavigezo kibao lakini akapendamweyevigezo vichache. Vifuatavyo ni vigezo 15 ambavyo wasichana wengi hupenda kutoka kwa mwanaume. 
1. Kujiamini 

2. Mcheshi

3. Mwenye utashi
4. Anayetoa msaada unapohitajika

5. Anaetunza siri

6. Mwenye kujithamini
7. Mwenye malengo / makini   
8. Mwenye mawazo mapana
 
 9. Muwazi na mkweli   
 10.Anayeridhika        
 11. Aliyeshupavu na jasiri
 12. Mwenye huruma 
 13. Anaesamehe 
 14. Hadhi na heshima  
15. Hisia ya uadilifu.
 

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger