AJALI NYENGINE MBAYA SANA MAENEO YA GAIRO BASI LA AIRBUS YATOKEA .

 
Basi la kampuni ya Airbus lililokuwa likitoka Dar es Salaam leo kuelekea Tabora limepinduka katika maeneo ya maeneo ya Kiegeya Gairo.Shughuli za uokozi zikiendelea muda mfupi uliopita

Haijulikani idadi kamili ya watu waliopoteza maisha lakini ni wengi na wengine wamejeruhiwa vibaya sanaaaaaaa!!

“Picha hazifai kuonwa na mimi niko eneo la tukio kwa ajili ya uokozi..viongozi mbali mbali wa serikali tunao hapa..kwakweli ni majonzi vilio nk,” ameandika shuhudu mmoja. Chanzo cha ajali hiyo hakijajulikana mara moja













Baadhi ya mili ya watu waliopoteza maisha kwenye ajali hiyo

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger