Dakika
kadhaa baada ya mshindi wa tuzo ya BET 2014 kwa wasanii wa Afrika
kutangazwa kuwa Davido wa Nigeria, staa kutoka Tanzania Diamond Platnumz
aliekua
anawania pia tuzo hiyo ameandika ya moyoni kwa watu wake.Tusipopenda
kukubali matokeo na ushindi wa wenzetu basi daima hatutaweza kuwa
washindani,
muhimu ni kujua wapi tulipotoka na wapi tulipo leo, katika nchi zaidi
ya 20 zenye wasanii zaidi ya milioni 40 kuchaguliwa Tanzania ni fursa,
heshima na hatua kubwa, cha muhimu ni kuitumia vyema fursa hii na
kuhakikisha mwakani tunapiga hatua, asante sana kwa wote wanaozidi
kunisupport’
No comments:
Post a Comment