SAJENTI AFUNGUKIA MANENO MAZIYO CHAZ BABA, YASOME HAPA

BAADA ya mkali wa Bongo Dansi kutoka Bendi ya Mashujaa, Charles Gabriel ‘Chaz Baba’ kudai ana mpango wa kumchukua mwanaye ili akaishi naye, hatimaye mzazi mwenzake, Husna Idd ‘Sajenti’,  amesema hawezi kumtoa mwanaye.
Mkali wa Bongo Dansi kutoka Bendi ya Mashujaa, Charles Gabriel ‘Chaz Baba’ akiwa kwenye ofisi za Global Publishers.
Akistorisha na paparazi wa kona hii, Sajenti alisema: “Mimi siwezi kumpa Chaz Baba mtoto wangu kwa sababu tangu akiwa mchanga namlea mwenyewe.
Mkali katika tasnia ya filamu Bongo Husna Idd ‘Sajenti’,
“Isitoshe mimi nimelelewa na mama yangu aliyenizaa, kwa nini nimtoe mwanangu kwa mama ambaye hajamzaa? Nasema nitamlea mwenyewe, hata nikifa ataendelea kulelewa na dada yangu, siyo mke wa Chaz.”

No comments:

Post a Comment

 
Support : WELCOME AGAIN MDADISI
Copyright © 2011. MDADISI WA MAMBO
THIS IS MDADISI
Proudly powered by Blogger