MTANGAZAJI ambaye kwa sasa anafanya dili za
ujasiriamali, Maimartha Jese ‘Mai’hivi karibuni alivishwa upya pete ya
uchumba na ya ndoa baada ya zile za wali kupotea katika mazingira ya
kutatanisha.
Aliyemfanyia tukio hilo ni mumewe aitwaye Shaa na baada ya vidole
vyake kupendeza tena alitupia picha akiwarusha roho mashoga zake na
alipoulizwa na paparazzi wetu juu ya pete hizo alisema, mume
wake ndiye aliyeamua kumvisha baada yakuona ni heshima kwa mke wa mtu.
“Nimejisikia furaha sana kwani ilikuwa ikininyima raha kuona pete za
mume wangu hazipo tena kidoleni, sasa nina amani tele,” alisema Mai
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment